Home » » IGP MANGU NA NAIBU WAKE WAJITAMBULISHA KWA KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI

IGP MANGU NA NAIBU WAKE WAJITAMBULISHA KWA KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI

Written By JAK on Tuesday, January 7, 2014 | 5:27 AM


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu wakati IGP alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.Katikati ni Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (DIGP) Abdulrahman Kaniki (kulia) na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na  Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi wakati IGP alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akizungumza  na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  na Naibu IGP Abdulrahman Kaniki wakati Viongozi hao wa Jeshi la Polisi walipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.Katikati ni Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi .
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini DIGP Abdulrahman Kaniki  wakati alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.DIGP.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger