Home » » MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI

Written By JAK on Wednesday, October 30, 2013 | 7:50 AM



YA ASKOFU MSTAAFU, MHASHAM RAYMOND MWANYIKA ILIYOFANYIKA MKOANI NJOMBE .
 
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Spika Anne Makinda na viongozi wengine wakitoa heshima za mwisho na kuaga  mwili wa marehemu
 
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya Askofu Mstaafu, Mhasham Raymond Mwanyika, wakati wa shughuli za maziko zilizofanyika leo katika Kanisa Katoliki Njombe.
 
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Spika Anne Makinda na viongozi wengine wakielekea kanisani kuaga mwili wa marehemu
 
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka mchanga kaburini
 
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana
 na Katibu Kiongozi Mstaafu Mhe Philemon Luhanjo baada ya mazishi hayo. Picha na OMR
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger