YA
ASKOFU MSTAAFU, MHASHAM RAYMOND MWANYIKA ILIYOFANYIKA MKOANI NJOMBE .
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, Spika Anne Makinda na viongozi wengine wakitoa heshima
za mwisho na kuaga mwili wa marehemu
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya Askofu
Mstaafu, Mhasham Raymond Mwanyika, wakati wa shughuli za maziko zilizofanyika
leo katika Kanisa Katoliki Njombe.
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, Spika Anne Makinda na viongozi wengine wakielekea
kanisani kuaga mwili wa marehemu
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiweka mchanga kaburini
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana
na Katibu Kiongozi Mstaafu Mhe Philemon Luhanjo baada ya mazishi hayo. Picha na OMR
na Katibu Kiongozi Mstaafu Mhe Philemon Luhanjo baada ya mazishi hayo. Picha na OMR
Post a Comment