Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu (kulia) akimkabidhi nyaraka za utendaji kazi mwenyekiti wa Baraza jipya la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bw. Omari Issa wakati wa uzinduzi wa baraza hilo leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na
Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu akizungumza na wajumbe wa Baraza jipya la Taifa la
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi wakati wa uzinduzi wa baraza hilo leo jijini Dar
es Salaam.
Mwenyekiti wa Baraza jipya la Taifa la Uwezeshaji Wananchi
Kiuchumi Bw. Omari Issa akizungumza na wajumbe wa baraza hilo mara baada ya
uzinduzi leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na
Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu (katikati) akizungumza jambo na Mwenyekiti wa Baraza
jipya la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bw. Omari Issa (kushoto) na
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt. Anacleti Kashuliza leo jijini Dar es Salaam.
Wajumbe na Viongozi wa Baraza jipya la Uwezeshaji Wananchi
Kiuchumi Wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu
Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu.
Picha na Aron Msigwa - MAELEZO.
Post a Comment