Home » » DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA ZANZIBAR

DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA ZANZIBAR

Written By JAK on Monday, November 18, 2013 | 5:42 AM



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria, katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo,katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi mbali mbali wa Wizara ya Katiba na Sheria,wakiwa katika mkutano wa utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani)katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger