Home » » KINANA AWASILI NAMTUMBO MKOANI RUVUMA

KINANA AWASILI NAMTUMBO MKOANI RUVUMA

Written By JAK on Monday, November 18, 2013 | 5:26 AM



Katibu Mkuu wa CCM,ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake wakipata chai mapema asubuhi,nyumbani kwa balozi wa shina,Said Husein mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Mchomoro wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma.Kinana na ujumbe wako kwenye ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama na kukagua uhai wa chama katika mkoa wa Ruvuma.
:NA MICHUZI
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger