Familia
ya Isaack Mruma ikiwa katika ibada maalum ya kumuombea marehemu
iliyofanyika katika Kanisa la KKKT, Usaharika wa Mbezi Beach Dar es
Salaam.
Kutoka
kushoto ni Mama mzazi wa Jerry, Bi Joyce Mruma, Khan Mruma ambaye ni
kaka wa marehemu, baba mzazi wa Jerry, Isaack Mruma na mdogo wake Kelvin
Mruma wakiwa katika ibada hiyo. PICHA ZAIDI FATHER KIDEVU BLOG

Post a Comment