Home » » KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

Written By JAK on Thursday, December 5, 2013 | 9:55 PM


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid (kushoto) na Mbunge wa Mkanyageni, Mohamed Habib Mnyaa,kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kabla ya kipindi cha maswali kjwa Waziri Mkuu, Bungeni mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlata (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Nkenge, Asumta Mshama kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Fenella Mukangara kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (kushoto) na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid, kwenye jengo a Utawala la Bunge Mjini Dodoma December 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma, Desemba 5, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger