Kinachoendelea
KIGOMA muda huu na hata kwenye kwenye Maandamano Makubwa ni hiki
wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga ujio wa Dr SLAA na viongozi
wenzake mkoani.
Ukweli ni Kwamba Dr.slaa amekutana na wakati Mgumu akiwa Kigoma.Picha zingine zitakuja na saambili Usiku ITV,TBC NA STAR TV wataonesha hali ya leo Kigoma walivyojitokeza Kupinga Ujio wa Dr.slaa.
Ukweli ni Kwamba Dr.slaa amekutana na wakati Mgumu akiwa Kigoma.Picha zingine zitakuja na saambili Usiku ITV,TBC NA STAR TV wataonesha hali ya leo Kigoma walivyojitokeza Kupinga Ujio wa Dr.slaa.
Post a Comment