Home » » MBUNGE LUKUVI AKABIDHI GARI LA WAGONJWA NA PIKIPIKI TARAFA YA PAWAGA ,AMPONGEZA RAIS KIKWETE NA DR MWINYI

MBUNGE LUKUVI AKABIDHI GARI LA WAGONJWA NA PIKIPIKI TARAFA YA PAWAGA ,AMPONGEZA RAIS KIKWETE NA DR MWINYI

Written By JAK on Monday, December 16, 2013 | 5:54 AM


 Mbunge  wa  jimbo la Isimani ambae ni  waziri  wa nchi  ofisi  ya  waziri mkuu  sera na uratibu wa bunge Bw Wiliam Lukuvi kulia akimkabidhi msaada wa gari  la  wagonjwa mganga mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Ignesa Mlowe kwa ajili ya  kituo  cha afya Kimande gari lenye  thamani ya Tsh milioni 180 lililotolewa na serikali kupitia wizara  ya afya na ustawi  wa jamii 
  Mbunge  wa  jimbo la Isimani ambae ni  waziri  wa nchi  ofisi  ya  waziri mkuu  sera na uratibu wa bunge Bw Wiliam Lukuvi akimkabidhi  msaada  wa fedha kiasi cha Tsh milioni 2.2 kwa ajili ya kusafisha mfereji wa umwagiliaji anayepokea  kulia ni mwenyekiti  wa jumuiya ya  wakulima wea mpunga katika mfereji wa Mlenge Bw Fundi Maleva leo.

 Mbunge wa jimbo la Isimani ambae ni waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu wa bunge Bw Wiliam Lukuvi akijaribu pikipiki mbili zilizotolewa na rais Dr Jakaya kikwete kwa jumuiya ya watumiaji maji Pawaga.Picha na Francis Godwin.
Source Michuzi Blog

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger