Home » » TUMEWADHIBITI M23 NGUVU ZETU SASA ZIKO KWA FDLR- MONUSCO

TUMEWADHIBITI M23 NGUVU ZETU SASA ZIKO KWA FDLR- MONUSCO

Written By JAK on Saturday, December 14, 2013 | 3:18 AM


Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, katika Eneo la Maziwa Makuu, Mary Robinson akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, baada ya yeye na Bw. Martin Kobler (kulia) ambaye ni Muwakilishi wa Katibu Mkuu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Mkuu wa MONUSCO kuwasilisha taarifa zao mbele ya Baraza Kuu la Usalama, katika mkutano wa ndani wa Baraza hilo uliofanyika siku ya jumatano. katika mkutano huo wakuu hao wawili walielezea kuridhishwa kwao na hali ya kijeshi na kisiasa inavyoendelea katika DRC hususani eneo la Mashariki ya nchi hiyo. pamoja na mchakato wa utekelezaji wa Mpango Mpana wa Umoja wa Mataifa kuhusu siasa, amani, usalama na maendeleo katika DRC na eneo la Maziwa na matarajio kuhusu mazungumzo ya Kampala ( Kampala Talks).
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger