Home » » SHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA DMV

SHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA DMV

Written By JAK on Saturday, January 4, 2014 | 5:32 AM


Rais wa Jumuiya Bwn. Iddi Sandaly akitoa salamu za mwaka mpya kwa Watanzania waliofika Capitol Heights, Maryland kushuhudia mkwsha wa mwaka mpya.
Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Bwn. Abbas Missana akitoa salamu za mwaka mpya kwa Watanzania DMV na marafiki zao kwa niaba ya Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula.

Juu na chini wanajumuiya wanaojitoa mhanga kwenye majukumu mbalimbali ya Jumuiya.
Juu na chini walimu wa darasa la kiswahili wakitunukiwa vyeti kwa juhudi zao za dhati za kufundisha darasa hilo DMV.
Juu na chini wadau wakichukua zawadi zao baada ya kushinda bahati nasibu ya papo kwa hapo.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger