Home » » Angellah Kairuki,asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Wilayani Same, Mkoani Kilimanjaro.

Angellah Kairuki,asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Wilayani Same, Mkoani Kilimanjaro.

Written By JAK on Wednesday, April 16, 2014 | 11:33 PM


Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, akila kiapo cha kusimikwa kuwa kamanda wa
umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Same.

Katibu mkuu wa Umoja wa Vijana UVCCM  Sixtus Mapunda, akimsimika Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, kuwa Kamanda wa  Vijana wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.

Katibu mkuu wa umoja wa Vijana UVCCM, Sixtus Mapunda akimsomea , Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki kiapo cha ukamanda.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba  Angellah Kairuki akizindua Shina la wakereketwa wa umoja wa Vijana Uvccm, baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa umoja huo wilayani Same.

Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  viongozi wa timu za mpira, baada ya kuwakabidhi vifaa vya michezo, kama njia ya kuwaunganisha vijana
pamoja. Picha zote na Fadhili Athumani
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger