ASKOFU KKKT IRINGA DR MDEGELA ATAKA UKAWA WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI ,ATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dr.OwdenburgMdegela |
Wachungaji na msaidizi wa Askofu kulia wakifuatilia salam za pasaka zilizokuwa zikitolewa na askofu Dr Mdegela |
waumini wa KKKT usharika wa kanisa kuu leo |
Wanahabari Iringa wakirekodi salam za askofu Dr Mdegela leo |
Waumini wa kanisa hilo na wageni kutoka nje wakifuatilia salama za askofu Dr Mdegela |
Katibu wa Asas za Kiraia mkoa wa Iringa Raphael Mtitu kulia akifuatilia salama za askofu Dr Mdegela |
mdau wa mtandao huu Stivin Lwambati wa pili kulia akifuatilia salam hizo
Askofu Dr Mdegela akitoa salam za Pasaka |
Askofu Dr Mdegela akitoka kanisani hapo baada ya ibada ya Pasaka |
Kwaya kuu ikiimba
Post a Comment