Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi akipokea maelezo kutoka kwa Afisa wa Bunge Bwana Patson Sobha, wakati alipowasili kwenye Banda la Bunge la maonesho ya maadhisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yanayoendelea katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Maonesho hayo yatakayofikia kilele siku ya Jumamosi Aprili 19, ikiwa ni maandalizi ya siku kuu ya Muungano ambayo huherekewa Aprili 26 kila mwaka.
MZEE ASEMA BADO MUUNGANO UKO IMARA
Written By JAK on Friday, April 18, 2014 | 8:44 PM
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi akipokea maelezo kutoka kwa Afisa wa Bunge Bwana Patson Sobha, wakati alipowasili kwenye Banda la Bunge la maonesho ya maadhisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yanayoendelea katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Maonesho hayo yatakayofikia kilele siku ya Jumamosi Aprili 19, ikiwa ni maandalizi ya siku kuu ya Muungano ambayo huherekewa Aprili 26 kila mwaka.
Related Articles
- TASWIRA YA MAADHIMISHO YA MIKA 50 YA MUUNGANO KATIKA UWANJA WA SHEIKH ABEDI AMANI KARUME
- TASWIRA YA MAANDAMANO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO JIJINI ARUSHA LEO.
- Kenya’s security forces caught unawares as Australians seize massive drug haul
- Vijana wafanya matembezi ya Uzalendo yalioratibiwa na Umoja wa Vijana wa CCM katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano
- RAIS JAKAYA KIKWETE AKIONGEA NA WANANCHI KATIKA UKUMBI WA PTA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM
- Mutunga meets security chiefs over terrorism cases
Labels:
Africa
Post a Comment