
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mmoja wa baadhi ya abiria waliokwama baada ya barabara ya Chalinze-Dar es Salaam kuharibiwa vibaya na mafuriko.




Rais akisalimiana na mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bwawani iliyopo Mkoani Pwani wakati alipotembelea eneo la Ruvu lililoathiriwa na mafuriko leo.

Picha na Freddy Maro.
Post a Comment