Home » » CHADEMA ARUSHA - BREAKING NEWS KUTOKA CORRIDOR SPRING

CHADEMA ARUSHA - BREAKING NEWS KUTOKA CORRIDOR SPRING

Written By JAK on Friday, October 25, 2013 | 10:10 PM

http://www.ibn-tv.com/wp-content/uploads/2013/10/Freeman.jpg

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh.Mbowe aomba karandinga la Polisi kuokoa jahazi,
baada ya Mwenyekiti wa Chadema Mkoa Ndg Samson Mwigamba kurusha ngumi ya uso na kuanza kutwangana
ndipo ilibidi Mbowe kuomba msaada Polisi.
Mkutano huo ulikuwa unafanyika usiku huu ndani ya 
 Hoteli ya Corridor Spring ya 
 Jijini Arusha .

Mwanahabari wetu ataendelea kuwaletea habari zaidi.

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger