Home » » JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 20 NA PIKIPIKI 40 KUTOKA SERIKALI YA SAUD ARABIA

JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 20 NA PIKIPIKI 40 KUTOKA SERIKALI YA SAUD ARABIA

Written By JAK on Friday, February 14, 2014 | 10:32 PM

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mathias Chikawe, (katikati) Mwakilishi wa Balozi wa Saud Arabia, pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu, wakitiliana sahihi moja kati ya Hati za makabidhiano ya magari 20 aina ya Toyota Land Cruiser pamoja na pikipiki 40 vilivyotolewa na serikali ya Saud Arabia, vitendeakazi ambavyo vitasaidia katika kuongeza kasi na ufanisi katika kupambana na matukio ya uhalifu na wahalifu.(picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi ).
Baadhi ya magari aina ya Toyota Land Cruiser yaliyotolewa na serikali ya Saud Arabia na kukabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kupitia Jeshi la Polisi Nchini, magari hayo 20 pamoja na pikipiki 40 zenye thamani ya zaidi ya Dola Milioni moja huku magari hayo pamoja na pikipiki zikitarajiwa kupelekwa katika baadhi ya vituo vya Polisi hapa nchini ambavyo vinaupungufu wa vitendea kazi vya aina hiyo na kusaidia katika kukabiliana na matukio ya uhalifu na wahalifu.

 Baadhi ya aina ya Pikipiki zilizotolewa na serikali ya Saud Arabia na kukabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kupitia Jeshi la Polisi Nchini, magari hayo 20 pamoja na pikipiki 40 zenye thamani ya zaidi ya Dola Milioni moja huku magari hayo pamoja na pikipiki zikitarajiwa kupelekwa katika baadhi ya vituo vya Polisi hapa nchini ambavyo vinaupungufu wa vitendea kazi vya aina hiyo na kusaidia katika kukabiliana na matukio ya uhalifu na wahalifu.(picha nap demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi )
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger