Home » » UNIC YAHAMASISHA VIJANA MKOANI DODOMA KUANZISHA VILABU VYA UMOJA WA MATAIFA MASHULENI

UNIC YAHAMASISHA VIJANA MKOANI DODOMA KUANZISHA VILABU VYA UMOJA WA MATAIFA MASHULENI

Written By JAK on Monday, February 17, 2014 | 9:58 PM

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu, akisalimiana na makamishna wa Jeshi la Polisi baada ya kuwasili kwa ajili ya kumpokea mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo ya ndani kwenye ufunguzi wa mkutano Mkuu wa Maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika katika chuo cha taaluma ya Polisi Moshi.
Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Mh, Pereira Ame Silima akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu baada ya kuwasili katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi kwa ajili ya kufungua mkutano Mkuu wa Maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika katika chuo hicho.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akitoa hotuba jana katika ukumbi wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua mkutano Mkuu wa Maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika katika chuo hicho.
Maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo ya ndani, Mhe. Pereira Ame Silima kwenye ufunguzi wa mkutano Mkuu wa Maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika katika chuo cha taaluma ya Polisi Moshi. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger