Waziri wa Nishati na
Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akisisitiza jambo alipofanya kikao
kilichojumuisha mkuu wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe, mkuu wa wilaya ya
Mpanda
Bw. Pazi Mwamlima, wataalamu
kutoka Tanesco ikiwa ni pamoja na wadau mbalimbali wa sekta ya umeme.
Wadau mbalimbali wa sekta ya umeme wakimsikiliza kwa makini
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
Mmoja wa wadau wa sekta ya umeme akiuliza swali katika kikao
hicho.
Post a Comment