Home » » KOMBE LA DUNIA LA WANAWAKE

KOMBE LA DUNIA LA WANAWAKE

Written By JAK on Saturday, November 9, 2013 | 10:48 PM



TANZANITE YAIPIGA MSUMBIJI BAO 15-1 KUSONGA MBKUELEKEA KOMBE LA DUNIA LA WANAWAKE

 
Timu ya Soka Taifa ya Wanawake ya Tanzanite, imeibugiza tena timu ya wanawake ya Msumbiji j mabao 5 -1. katika mchezo wa marudiano uliofanyika leo nchini Msumbiji.

Bambao hayo ya ushindi ya Tanzanite yalifungwa na Selda Boniface amefunga mabao matatu, Vumilia Maarifa bao moja na Dionisia Athanas bao moja. Timu hiyo ya Msumbiji imetolewa kwenye mashindano hayo kwa jumla ya mabao 15-1.

Tanzanite wanasubiri mshindi wa mechi kati ya Afrika kusisin na Botswana ambapo wakishinda wataingia  rasmi kwenye michuano hiyo ya kuwania Kombe la Dunia 
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger