Home » » SHEREHE YA MIAKA 75 YA RAIS MSTAAFU, BENJAMIN MKAPA, 'HAPPY BIRTHDAY BEN' ... ONA ILIVYOKUWA

SHEREHE YA MIAKA 75 YA RAIS MSTAAFU, BENJAMIN MKAPA, 'HAPPY BIRTHDAY BEN' ... ONA ILIVYOKUWA

Written By JAK on Wednesday, November 13, 2013 | 10:56 PM


Mandhari ya ukumbi uliofanyika sherehe ya kumpongeza Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ya kutimiza miaka 75, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi Center jijini Dar es Salaam,jana usiku.
 
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, akijumuika na mkewe Mama Anna Mkapa na sehemu ya Familia yake kukata Keki, ikiwa ni ishara ya kupongezwa kwa kutimiza miaka 75.
 
Shamra shamra ukumbini wakati wa sherehe hiyo......
 
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa,akizima mishumaa
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger