Home » » JAJI MKUU WA TANZANIA AWAAPISHA JUMLA YA MAWAKILI WA KUJITEGEMEA 552 NA KUONGEZA IDADI YA ZAIDI YA MAWAKILI 4000 NCHINI.

JAJI MKUU WA TANZANIA AWAAPISHA JUMLA YA MAWAKILI WA KUJITEGEMEA 552 NA KUONGEZA IDADI YA ZAIDI YA MAWAKILI 4000 NCHINI.

Written By JAK on Saturday, December 7, 2013 | 3:52 AM


1.     Jaji Mkuu wa Tanzania pamoja na Majaji wengine wa Mahakama wakishiriki kuwaapisha na kuwasajili rasmi Mawakili hao wapya.
1.     Mawakili wapya wakitoa heshima ya Kimakama mbele ya Mhe. Jaji Mkuu na Maji wengine wa Mahakama ya Tanzania waliohudhuria katika sherehe hizo.
Meza ya majaji wastaafu pamoja na viongozi wa mahakama
1.     Ni kundi la baadhi ya Mawakili waliosajiliwa leo na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, Balozi Mstaafu, Mhe. Juma Mwapachu (wa kwanza kulia) ni miongoni mwa Mawakili hao wapya.
1.     Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akisoma risala yake katika sherehe hizo ambapo amewataka Mawakili hao wapya kuwawakilisha vyema wananchi katika kupata haki zao. 
Picha na Mary Gwera wa Mahakama
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger