Home » » Kamanda kova na wakuu wa wilaya za mkoa wa Dar es salaam

Kamanda kova na wakuu wa wilaya za mkoa wa Dar es salaam

Written By JAK on Tuesday, December 31, 2013 | 6:00 AM


Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi ya Dar es salaam Afande Suleiman Kova akiwa na wakuu wa wilaya ya mkoa wa Dar es salaam katika hafla ya kukabidhiwa Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya katika viwanja vya Karimjee Hall jijini Dar es salaam leo. Kutoka kushoto ni Mhe Jordan Rugimbana (kinondoni, Mhe Raymond Mushi (Ilala) na Mhe. Sophia Mjema wa Temeke.

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger