Mkuu wa wilaya ya Tanga Bi. Halima Dendego, akifungua warsha ya asasi za kiraia na wanahabari kuhusu mazingira inayoendelea mkoani Tanga kati ya tarehe11-12 Desemba 2013.Warsha hiyo imeandaliwa na WWF-Tanzania.
Meneja Uhifadhi wa mazingira wa WWF-Tanzania,Gerald Kamwenda akitoa mada katika warsha ya asasi za kiraia na wanahabari inayoendelea mkoani Tanga
Wadau wakisikilza mada katika warsha ya asasi za kiraia na wanahabari kuhusu mazingira inayoendelea mjini Tanga.
Washiriki wa warsha ya asasi za kiraia na wanahabari kuhusu mazingira wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa wilaya ya Tanga Bi. Halima Dendego.
Post a Comment