Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa shirikisho la waendesha bodaboda jijini Dar es Salaam,waliomtembelea ofisini kwake leo.Mh. Lowassa alikutana na viongozi hao kupanga utaratibu wa kufanya harambee ya kuchangia saccos ya shirikisho hilo.Mwezi Disemba mwaka jana,Mh Lowassa alikuwa mgeni rasmi katika tamasha la bodaboda kwenye viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam ambapo aliahidi kukutana na uongozi huo kwa ajili ya kuandaa harambee ya kuwasaidia kumiliki pikipiki waendesha bodaboda wa Dar es salaam.
Mh. Lowassa akutana na uongozi wa bodaboda mkoa wa Dar
Written By JAK on Thursday, January 16, 2014 | 12:38 AM
Related Articles
- TASWIRA YA MAANDAMANO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO JIJINI ARUSHA LEO.
- Kenya’s security forces caught unawares as Australians seize massive drug haul
- Vijana wafanya matembezi ya Uzalendo yalioratibiwa na Umoja wa Vijana wa CCM katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano
- RAIS JAKAYA KIKWETE AKIONGEA NA WANANCHI KATIKA UKUMBI WA PTA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM
- Mutunga meets security chiefs over terrorism cases
- CHADEMA Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje , Ahamia CCM
Labels:
Africa
Post a Comment