Home » » RAIS DR.JAKAYA KIKWETE APOKEA TUZO ALIYOTUNUKIWA MAREKANI

RAIS DR.JAKAYA KIKWETE APOKEA TUZO ALIYOTUNUKIWA MAREKANI

Written By JAK on Thursday, April 17, 2014 | 11:12 PM



 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa  Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membekupokea Tuzo ya Uongozi Bora Afrika aliyotuzwa nchini Marekani ambako aliwakilishwa na Mhe Membe.

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kupokea toka kwa  Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membekupokea Tuzo ya Uongozi Bora Afrika aliyotuzwa nchini Marekani ambako aliwakilishwa na Mhe Membe.( Picha na Ikulu )

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe, wakiangalia cheti cha heshima alichopewa na Gavana wa Maryland wakati wa kupokea Tuzo ya Uongozi Bora Afrika aliyotuzwa nchini Marekani ambako aliwakilishwa na Mhe Membe.

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger