Home » » Zakhia Meghji na Frederick Migala wavutia wengi Bungeni Dodoma

Zakhia Meghji na Frederick Migala wavutia wengi Bungeni Dodoma

Written By JAK on Tuesday, April 15, 2014 | 7:23 AM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcqMVIR0UIgcrhCJqyqbJvEDguX61JhIbC_l7Bg58HA3MD3sShqURLuv3k6d2aNSRo_roN-W5nCeqOomIkEASLbXLET-09lhVfGC2U7okUaBNDPIbjiNGOIRpdB6vK5t5wqaawdoj7AjHs/s1600/unnamed+(42).jpg
Mheshimiwa Zakia Hamdani Meghji ambaye uchangiaji wake uliwavutia wengi baada ya kuweka wazi kuwa anaunga mkono Serikali mbili na kuwa hayuko tayari kuona muungano unakufa wakati akichangia kifungu namba moja na  namba sita.Kulia kwake ni Mhe.Hilda Ngoye.Wote wawili wamewahi kuwa wakuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwa Nyakati tofauti.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiu97hUvn9n6ry0biJtJHmU5roJe_91E_LPh8Tzg4cIIiq4jIT_NXc1gM_etT0iN1wYP62NBJ1lVTeWawzCU0nkhw-hhyphenhyphenhIO2St0uKtBCHUP2mQkTfN881bMnw4SeqTtJIpPkqL8QzS76hZ/s1600/unnamed+(43).jpg
Mhe.Frederick Migala kutoka kundi la walemavu akichangia.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8GlS60XV7ArvbPj3PGOf2s9FzR9fBNYjHRB36iSBfGaSJjNxSUPJZMFLaQgcoI0Oim3T3jAV1aQKyNSU4fywnRLy5LPykU-lRAe28tU9DmmR6Cl7N-Z9X50Z3tvRT9jgKdyQj5UUsR6tE/s1600/unnamed+(44).jpg
Mhe.Kingunge Ngombale Mwiruakimpongeza Mhe.Frederick Migala kutoka kundi la walemavu akichangia baada ya kuvutiwa na hoja za mchango wake kifungu namba moja na nambasita cha katibampya. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Dodoma.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger