
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiondoka kijijini Sigunga baada ya kuzungumza wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi,wengine wanaonekana kwenye picha ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi anayepiga kasia na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Ali Abeid Karume.



Post a Comment