Balozi wa Tanzania BELUX, Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific(ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa ACP anayesimamia Utawala na Fedha Bi. Nthisana Phillips ofisini kwake Brussels. Balozi Kamala anaendelea na ziara ya kukutana na watendaji wakuu wa ACP kwa nia ya kubainisha masuala ya kupewa kipaumbele na ACP katika kipindi cha miezi sita ijayo.
BALOZI KAMALA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA ACP ANAYESIMAMIA UTAWALA NA FEDHA
Written By JAK on Tuesday, February 11, 2014 | 8:03 PM
Related Articles
- John XXIII, the surprising pope
- KONGAMANO LA MAFUTA NA GESI BERLIN UJERUMANI LAZINDULIWA NA PROFESA MUHONGO
- Ukraine accuses Russia of seeking 'third world war'
- Man alleges he is Obama’s aunt husband, claims burial rights
- Egypt FM heads to US as helicopter delivery freeze lifted
- David Cameron accused of fostering division in UK
Labels:
Europe
Post a Comment