Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Nape amemtambulisha Godfrey ambaye ni mtoto wa Marehemu Dk. William Mgimwa, baada ya Kamati Kuu ya CCM kumpitisha, leo kuwania nafasi hiyo ya Ubunge. (Picha na Bashir Nkoromo).
KAMATI KUU YATEUA MGOMBEA WA CCM KALENGA
Written By JAK on Tuesday, February 11, 2014 | 8:01 PM
Related Articles
- Mutunga meets security chiefs over terrorism cases
- CHADEMA Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje , Ahamia CCM
- MIAKA 50 YA MUUNGANO UWANJA WA TAIFA
- TASWIRA YA MAADHIMISHO YA MIKA 50 YA MUUNGANO KATIKA UWANJA WA SHEIKH ABEDI AMANI KARUME
- TASWIRA YA MAANDAMANO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO JIJINI ARUSHA LEO.
- Kenya’s security forces caught unawares as Australians seize massive drug haul
Labels:
Africa
Post a Comment