Mtukufu Victoria katika matukio ya uzinduzi wa miradi huko Kigamboni eneo la Tungi
Mmoja wa Vijana wa skauti akimvisha skafu Mtukufu Victoria alipowasili katika eneo hilo.
Mtukufu Victoria akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika eneo laTungi- Kigamboni Wilayani Temeke kwa ajili ya kuangalia miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na Sweden.
Mtukufu Victoria akifurahia mapokezi kutoka kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Tungi huko Kigamboni.
Mtukufu Victoria akizindua huduma ya maji safi ya bomba katika eneo la Tungi
Mtukufu Victoria akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Tungi (hawapo pichani) alipotembelea shuleni hapo.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Tungi wakimsikiliza Mtukufu Victoria (hayupo pichani)
...Binti Mfalme akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere tayari kwa kuondoka nchini
Picha ya pamoja
Mtukufu Victoria akiagana na Balozi Msechu mara baada ya kuhitimisha ziara yake nchini tarehe 21 Machi, 2014.
Balozi Msechu kwa pamoja na Bibi Mwakasege na Bi. Tunsume Mwangolombe (wa kwanza kushoto), Afisa Mambo ya Nje na Afisa kutoka Ubalozi wa Sweden wakisubiri ndege iliyombeba Mtukufu Victoria (haipo pichani) kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Picha na Reginald Philip

Post a Comment