Home » » CCM YASONGA KATIKA KATA YA KIWANGWA NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO

CCM YASONGA KATIKA KATA YA KIWANGWA NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO

Written By JAK on Friday, March 21, 2014 | 11:18 PM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5kcsySHvG5NQZpbwbRx-iSL13KWL-rNPkoMZ-nsoQqNdPb7hLIfcIsW0JcscrZMqD_lmxOhmF95V2RA99gxqRdz_Pm6B0yZvNP5sTAGyxiC9Cd9_K0zAsLetDHEPyuzY6MDmHYe44POrZ/s1600/KW2.jpgMgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini Bibi Tanazina Mrisho Mfaume Mkazi wa Kijiji cha Msinune,Kiwangwa Bagamoyo,wakati alipopita kumsalimia bibi huyo leo Machi 21,2013.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrXEAWgBpnXxhzAfbZlFG28DultdrflxGL0UG23uT2ake_iS3hAdhsYzw0YjLEPzGZ0OOxTPi8AVOKOYU5T2ete4254Plb9yphnqaFMDYCavT55PNg4Gt3IFbKT5D9kcR-vVa_ONkPZOJf/s1600/_33.jpg Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete kwa wananchi wa Kijiji cha Kiwangwa,Kata ya Kiwangwa waliofika kwa wingi kwenye Mkutano wa Kampeni cha CCM,leo Machi 21,2014.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbBCLGB4TY-wHu0hq-jO25E9ve31xhLo-M_e-YOpmt67ualhnP72Qr79X7UutASMZkQf2TQIfUhijqqsP9u7T-_Lo9QcklaltGUCOi7i5V2fa_H6innQO4Az-9O4eLhv8SvMcs_nGQwctp/s1600/_35.jpg
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Kiwangwa,Kata ya Kiwangwa waliofika kwa wingi kwenye Mkutano wa Kampeni cha CCM,leo Machi 21,2014.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjy7VV7zMiQ8zd60oZFDDDk6qv6lFjZRc0ghP7gSE8q10xsmK6zbFZTJ6LtX4vbSPvSP6xZTdndzaxtGSK9vSbnqf_TQySkrVLiAeLl97xQATWsiv4YHiqKPmbsaAkuKMyWy-KN_rEaXtIp/s1600/KW3.jpg
Wakazi wa Kijiji cha Masugulu, Kata ya Kiwangwa wakisoma kwa umakini kipeperushi cha Wasifu wa Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete,leo Machi 21,2014.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgZiq3vD3E-tf903uVNsgEHfujCDrxvOJpTyGsOUiJI0KPoaoiaG-6t0y9xZAMw0VaBB3qGA1sJd-GbRDHoLL0SQxoBq0IKWjwFbCBOLl5xbiD6hZgTukl8Mb8Mvk1dN63nR_pkiZqhWN8/s1600/14.jpg
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akinadi sera zake kwa wananchi wa Kata ya Kiwangwa,ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 21,2014.Picha Zote na Othman Michuzi.















































































Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger