Home » » RIDHIWANI KIKWETE AKUTANA NA CHANGAMOTO YA MKANDARASI KUCHELEWESHA MRADI WA MAJI

RIDHIWANI KIKWETE AKUTANA NA CHANGAMOTO YA MKANDARASI KUCHELEWESHA MRADI WA MAJI

Written By JAK on Monday, March 24, 2014 | 2:05 AM

 
Ridhiwani akiteta jambo na Mariam Khami ambaye ni mlemavu wa macho katika Kijiji cha Kifulete baada ya kumaliza mkutano wa kampeni leo


 Diwani wa Kata ya Kimange, Hussein Hading'oka akiangua kilio mbele ya wananchi na mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM, Ridhiwani Kikwete baada ya kukerwa na kitendo cha mkandarasi wa maji kuchelewesha Mradi wa maji katika kata hiyo. Tukio hilo lililtokea akielezea utekelezaji wa ilani ya chama hicho wakati wa mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Pongwe Kiona leo.


 Diwani Hading'oka akifutwa machozi na mmoja wa wanakijiji  cha Pongwe Kiona leo.

Ridhiwani akimsikiliza kwa makini Mzee wa Kijiji cha Changarika Juma Ramadhan, Kata ya Mbwewe  wakati wa kampeni hizo.

Ridhiwani (katikati)  akiwa na  Mkurugenzi  wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited, Juma Pinto pamoja na mmiliki wa Blogu ya Wananchi, William Malecela wakati wa kampeni za jimbo la Chalinze ambapo Ridhiwani anagombea.


 Ridhiwani akijadiliana jambo na Pinto katika Kijiji chA Kimanga leo.


 Kwaya ya Kijiji cha Kimange, Kata ya Kimange wakitumbuiza kwa furaha wakati wa kampeni za CCM Jimbo la Chalinze.


 Ridhiwani Kikwete (kushoto) akiungana na wananchi wa Kijiji cha Pongwe Kiona kumuombea aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Chalinze, marehemu Said Bwanamdogo wakati wa mkutanio wa kampeni leo.

Ridhiwani Kikwete (wa pili kushoto) akiungana na baadhi ya wananchi walionyoosha mikono ikiwa ni ishara ya kukubali kumpigia kura April 6 mwaka huu.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama hicho Mkoa wa Mtwara, akiuhutubia kumnadi Ridhiwani Kikwete katika mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Pongwe Kiona leo.
Ridhiwani Kikwete akijinadi katika Kijiji cha Pongwe Kiona leo. 
 Mzee Omari Abdallah (80) akimsikiliza kwa makini mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM,Ridhiwani Kikwete aliyekuwa akijinadi katika mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Pongwe Kiona leo.

 Ridhiwani Kikwete akizungumza na baadhi ya vijana wa Kijiji cjha Pongwe Mnazi baada ya kumalizika kwa mkutano kijijini hapo leo.

Ridhiwani akiombewa dua baada ya kumalizika kwa mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Pongwe Mnazi leo.
Ridhiwani Kiwete akikagua majengo ya shule ya MsingiKikwazu Kata ya Kimange leo.
Wananchi wakinyoosha mikono kukubali kumpigia kura Ridhiwani Kiwete Aprili 6 mwaka huu.

 Ridhiwani akisalimiana na baadhi ya wazee katika Kijiji cha Kifulete, Kata ya Kimange.

 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akijadiliana jambo na baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Changarika leo.

Wasanii wa ngoma ya Sero wakicheza mbekle ya Ridhiwani Kikwete wakati wa Mkutano wa Kampeni katika Kijiji cha Changarika , Katea ya Mbwewe leo.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger