Beki wa Azam FC, David Mwantika (kulia), akichuana na
mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka
Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam
imeshinda 2-1.
Mshambuliaji wa
Simba, Betram Mwombeki akiwatoka mabeki wa Azam FC.
Ramadhani Singano
(kushoto), akimtoka David Mwantika.
Wachezaji wa timu ya
Azam wakishangilia bao la pili la timu yao baada ya kuifunga Simba 2-1 katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyikakwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam.
Azam imeshinda 2-1.
Azam imeshinda 2-1.
Mashabiki wa Simba
wakiwa wameduwaa huku wakifuatilia mchezo kati ya Simba na Azam FC.
Kipa wa Azam FC,
Mwadin Ali akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Sino Augustino.
Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher (kulia), akiwania
mpira na wachezaji wa Azam FC, Kipre Tchetche na David Mwantika. (Picha na
Francis Dande)
Post a Comment