Home » » NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA MAONYESHO YA MADINI YA KIMATAIFA JIJINI ARUSHA Ocktoba 28, 2013.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA MAONYESHO YA MADINI YA KIMATAIFA JIJINI ARUSHA Ocktoba 28, 2013.

Written By JAK on Tuesday, October 29, 2013 | 2:18 AM



Naibu waziri wa Nishati na Madini Steven Masele akikata utepe kuzindua mabanda ya maonyesho ya madini ya kimataifa ya vito na usonara leo katika hoteli ya Mount meru jijini Arusha.
 
Naibu Waziri wa nishati na Madini Steven Masele akiwa katika moja ya banda la Maonyesho la Raia wa Kongo akikagua madini yanayoonyeshwa katika banda hilo.
 
Masele akikagua banda la kampuni ya GIA ya Afrika Kusini ambayo imekuwa ikihusika na kutoa elimu kuhusiana na madini katika nchi za Afrika.
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Steven Masele akielekea kutembelea mabanda ya maonyesho katika viwanja vya hoteli ya Mount meru, kulia kwake ni Mwenyekiti wa maandalizi ya maonyesho hayo, Peter Pereira .
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Steven Masele akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa maonyesho ya kimataifa ya madini na usonara yanayofanyika jijini Arusha katika hoteli ya Mount Meru  Ocktoba 28, 2013.
 Baadhi ya washiriki wa maonyesho ya madini ya kimataifa wakimsikiliza Naibu waziri wa Nishati na Madini Steven Masele (hayupo pichani), katika viwanja vya hoteli ya Mountmeru Ocktoba 28, 2013.

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger