Nguza Vicking 'Babu
Seya' akiwa na Mwanawe Johnson Nguza
'Papii' wakiwa na nyuso za furaha wakati wakitoka katika Mahakama ya Rufaa
baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania kusikiliza maombi yao ya kuitaka
mahakama hiyo kupitia hukumu iliyoitoa mwaka 2010.
Johnson Nguza 'Papii' akibusu mkono wake baada ya
kuibusu ardhi mara baada ya kutoka mahakamani.
Papii akinyoosha
mkono juu kama ishara ya kumshukuru mungu.
Waandishi wa habari
wakiwa chini wakati wa harakani za kuchukua matukio mahakamani hapo.
Nguza Vicking 'Babu
Seya' akiwa na Mwanawe Johnson Nguza
wakati wakitoka mahakamani.
Nguza Vicking 'Babu
Seya' akiwa na Mwanawe Johnson Nguza au
Papii wakiwa katika chumba cha Mahakama
ya Rufaa Tanzania kabla ya kuanza kwa kusikilizwa
kwa rufaa yao ya kuitaka mahakama
hiyo kupitia upya hukumu iliyotolewa Februari 10-2010 na mahakama hiyo.
hiyo kupitia upya hukumu iliyotolewa Februari 10-2010 na mahakama hiyo.
Watu waliohudhuria
mahakama hapo wakifuatilia kesi hiyo.
Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson Nguza wakiteta jambo na wakili wao, Mabere
Marando.Na Michuzi Blog
Post a Comment