VIONGOZI, WASANII NA WANANCHI WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU BALOZI ISAAC ABRAHAM SEPETU(BABA MZAZI WA WEMA SEPETU) NYUMBANI KWAKE SINZA
Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu enzi za uhai wake
Mh. Jaji Warioba
akisaini kitabu cha Maombolezo leo mchana nyumbani kwa Marehemu Balozi
Isaac Abraham Sepetu jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.
Bernard Membe akisaini kitabu cha maombolezo leo October 29, 2013 nyumbani kwa
marehemu Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Mama Gertrude Mongella akisaini kitabu cha maombolezo kwenye
msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu nyumbani kwake Sinza Mori leo
October 29, 2013
Mh. Jaji Warioba na
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernard Membe
wakibadilishana mawazo kwenye msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo
October 29,2013
Baadhi ya viongozi waliofika msibani kwa Marehemu Balozi
Isaac Abraham Sepetu.Kutoka Michuzi Blog
Post a Comment