Home » » NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA USA RIVER-ARUSHA

NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA USA RIVER-ARUSHA

Written By JAK on Thursday, February 6, 2014 | 6:12 AM

 Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Nyerembe D. Munasa Sabi (kati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Usa River.Wakishuhudia kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Biashara kwa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Richard Makungwa pamoja na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini, Vicky Bishubo . Hafla ya uzinduzi wa tawi hili la NMB Usa River umefanyika mwanzoni mwa wiki katika viwanja vya tawi hili mkoani Arusha.
 Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya uzinduzi huu wakifurahia ufunguzi wa tawi jipya la NMB Usa River
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Nyerembe D. Munasa Sabi akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Tawi la NMB Usa River Bernadetha Mmary mara baada ya kuzindua tawi na kulitembelea ndani.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger