Home » » REDIO 5 WAFUNGUA MWAKA KWA TAMASHA LA BURUDANI.

REDIO 5 WAFUNGUA MWAKA KWA TAMASHA LA BURUDANI.

Written By JAK on Wednesday, February 5, 2014 | 2:13 AM

DSCF2600Timu ya AJTC ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kunyakuwa ushindi katika tamasha la fungua mwaka na redio 5 lililoandaliwa na kampuni ya Tan media jijini Arusha katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid

DSCF2553Muonekano wa wachezaji wakiwa uwanjani

DSCF2593Kulia ni meneja mbunifu wa redio 5 Vicky Mwokoyo akiwa na MC Victoria wakijadili jambo

DSCF2562Mtangazaji maarufu wa kituo cha redio 5 Semio Sonyo akijadili jambo na baadhi ya wachezaji

DSCF2552Nyama choma pia ilikuwepo

DSCF2556DJ akifanya yake kuwapa burudani wakazi wa Arusha

DSCF2557Mashabiki wakiangalia burudani kutoka kwa wasanii wa Arusha

DSCF2564Timu ya Highridge ikipokea zawadi ya saa kutoka kwa mtangazaji Semio Sonyo baada ya kushika nafasi ya pili

DSCF2577Mmiliki wa jamiiblog akishow love na kikundi cha kck spark katika tamasha la fungua mwaka na Redio 5

DSCF2569

DSCF2589

DSCF2634K-vant gin nao walikuwa wadhamini wa tamasha hilo

DSCF2629Jambo squard wakiwapa burudani wakazi wa Arusha

DSCF2584Kulia Mtangazaji maarufu wa redio 5 Linus Kilembu kushoto producer BR tukishow love

DSCF2587Miondoko ya archuga pia ilichezwa

DSCF2632Mashabiki wakiangalia burudani

DSCF2627

DSCF2619Wadau muhimu pia walikuwepo kwenye tamasha

DSCF2629cropped-jamii-new-year-2014.gif

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger