Home » » KATIBU WA BUNGE AONGOZA MAELF KUMZIKA ANSELM LYATONGA MREMA

KATIBU WA BUNGE AONGOZA MAELF KUMZIKA ANSELM LYATONGA MREMA

Written By JAK on Friday, November 15, 2013 | 9:39 PM



Makamishna wa Bunge pamoja na watu wengine wakiupokea mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa Shughuli za Bunge marehemu Anselm Lyatonga Mrema mara ulipowasili nyumbani kwake Marangu Kiraracha tayari kwa mazishi jana.
 
Mke wa marehemu akiuga mwili wa mume wake aliyefariki tarehe 10/11/2013 mjini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mfupi.
 
Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashilillah akiwaongoza watumishi wa Bunge kuuga mwili wa marehemu.
 
Spika Mstaafu na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samuel Sitta akiweka udongo kaburini kama Ishara ya kumuaga marehemu Anselm Mrema.
 
Familia ya marehemu Anselm Mrema mara baada ya mazishi.Bwana ametoa, Bwana ametwaa. 
Jina la Bwana lihimidiwe! (Prosper Minja-Bunge)
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. New EAC Blog - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger